Showing posts with label Maendeleo na Afya. Show all posts
Showing posts with label Maendeleo na Afya. Show all posts

Friday, 7 September 2018

... KUUHARIBU UHAI WETU KUPITIA MIMEA ILIYOBATILISHWA KWA GMO- Sehemu ya pili



Juma lililopita tulifahamishana kuhusu GMO.
Kabla ya kuendelea tukumbushane hulka ya biashara hususan huku nchi zilizoendelea. Siku hizi ni kawaida  kabisa kwa wateja, Uzunguni, kutaka kujua nini wananunua, nini kitakachoingia tumboni, tarehe gani  bidhaa itaoza au kukosa thamani, nk. Wasiojali sana ni maskini au wasiosoma. Lakini hata hawa hulazimika kuchunguza  pale maradhi yanapobisha hodi. Tutoe mfano...
Uzunguni kuna tatizo kubwa la “allergies”
Allergies ni  nini?