Sunday 14 May 2017

KILIO CHA WATOTO KARATU : TUENDELEE KUHUZUNIKA HADI LINI?


Ingawa muda umepita  tulioko Ughaibuni  tunawapa pole waliofiwa Karatu. Tumeangalia picha zilizosambazwa kwa uchungu, maastajabu na majonzi. Kama mzazi picha moja iliniuma sana. Watoto wa Lucky Vincent wamesimama  wakijitayarisha kuondoka safari yao ya mwisho.  Wamevalia mavazi ya shule: furaha ya mtoto. Masomo, maisha, matumaini. 
Ila picha inayostahili  kujadiliwa zaidi ni ya wanaume kadhaa wakikwea basi , wakijaribu kunyofoa maiti zilizojibana bana.  Hapa ndipo kilipo kilinge na janga letu Waafrika leo.

EAST AFRICAN INPUT AT THE RICH MIX CLUB PIVOTS UP LONDON



 Somali poet, Ahmed Magare reads fervently at Rich Mix. Pic by F Macha

I was part of a beautiful day on Easter Sunday.
Rich Mix is definitely among hottest clubs in London at the moment. Strategically situated. Not just in Hackney but Shoreditch.