Juma lililopita
tulifahamishana kuhusu GMO.
Kabla ya kuendelea
tukumbushane hulka ya biashara hususan huku nchi zilizoendelea. Siku hizi ni
kawaida kabisa kwa wateja, Uzunguni,
kutaka kujua nini wananunua, nini kitakachoingia tumboni, tarehe gani bidhaa itaoza au kukosa thamani, nk.
Wasiojali sana ni maskini au wasiosoma. Lakini hata hawa hulazimika kuchunguza pale maradhi yanapobisha hodi. Tutoe mfano...
Uzunguni kuna tatizo kubwa
la “allergies”
Allergies ni nini?
