Showing posts with label Viongozi na Magazeti. Show all posts
Showing posts with label Viongozi na Magazeti. Show all posts

Monday, 18 July 2011

GAZETI MAARUFU NA ZEE KUSHINDA YOTE DUNIANI LILIVYOTINGISHA SERIKALI NA MAISHA UINGEREZA...

Habari zilizotanda Uingereza majuma mawili yaliyopita zimehusu gazeti maarufu la News Of The World. Lilifungwa wiki jana baada ya  mashtaka ya uhalifu. News of the World ilikuwa ikipata habari kwa kuingilia barua pepe na simu za watu maarufu ili kuwaiba. Miongoni mwa waliokuwa wakifanyiwa wizi huo ni Malkia Elisabeth, mwanae Prince Charles, Waziri Mkuu wa zamani Gordon Brown, viongozi mbalimbali na wacheza mpira mashuhuri. Mwishoni  gazeti liliwaudhi wananchi zaidi ilipofahamika lilikuwa limekita makucha yake kusikiliza habari za watu waliouliwa au kufa. Kati yao ni wasichana watatu waliouliwa kinyama Milly Dowler, Jessica Chapman, Holly  Wells na ndugu za waliofariki Julai 2005 kutokana na mabomu ya magaidi  mjini London.
Suala la  kutafuta habari hata za maiti lilikuwa kilele cha uhalifu na gazeti lilifungwa na mwenyekiti wake Rupert Murdoch.
Mzee Murdoch na mkewe mzawa wa China,Wendi Deng, aliyezaliwa mwaka 1968...
Picha ya Gettys...
<--more--!>