Showing posts with label Forbes. Show all posts
Showing posts with label Forbes. Show all posts

Thursday, 2 April 2015

NASAHA KWA WATANZANIA WANAOULIZIA WAFADHILI NJE- Sehemu ya 3



Mti alionyongewa Mangi Meli Makindara wa Old Moshi mwaka 1892. Wakoloni wa Kijerumani waliua viongozi wengi. Mfano mzuri wa kumbukumbu toka Blog la Xanadu.

Toka niishi dunia ya  Wazungu nimejifunza jambo moja. Wenzetu wana mafanikio kwa sababu wanathamini sana vitu vyao. Hapa Uingereza hupenda kuhifadhi sana sanaa yao. Hata zile zilizoibiwa enzi za Ibilisi wa ukoloni, bado zimehifadhiwa.