Showing posts with label Julius Nyerere. Show all posts
Showing posts with label Julius Nyerere. Show all posts

Thursday, 2 April 2015

NASAHA KWA WATANZANIA WANAOULIZIA SANA WAFADHILI NJE - 1


“Mafanikio maishani yahitaji mawili; kutojua  na kujiamini,” aliandika mtunzi maarufu wa riwaya, Mark Twain. Zamani shuleni tulisoma vitabu vya Mark Twain vinavyofundishia Kiingereza ulimwengu mzima. Kati ya riwaya ya sifa na sambusa ni The Adventures of Huckleberry Finn. Mashuhuri sana. Kisa chenye kejeli na utani kuhusu ubaguzi wa rangi. Nukuu, elimu na hekima za Mmarekani huyu aliyezaliwa mwaka 1835 akafariki 1910, (akatajirika kutokana na fasihi)  hunyofolewa sana na wengi. Wanadamu tunapenda kujifunza kwa wenzetu waliofanikiwa kitaaluma na kimasilahi. 
Mtunzi wa riwaya Mark Twain, mwaka 1871. Kitabu chake , Huckleberry Finn, hutumiwa mashuleni kujifunza Kiingereza ulimwengu mzima. Picha ya Wikipedia

Hebu tuikague nukuu hii kusaidia maongezi ya leo. Kutojua kwaweza kuwa ujinga na Mwalimu Nyerere aliwahi kufafanua ifuatavyo...

Wednesday, 30 March 2011

KITABU KINACHOELEZEA YALIYOWAFIKA WAPINZANI TANZANIA CHATOKA UINGEREZA...

Kina kurasa 272.
Toka nchi yetu iwe huru miaka hamsini sasa hajatokea Mtanzania akaandika kitabu cha aina hii.  Watanzania tunaogopa. Hofu hiyo imeenea miaka mingi na imetushika hata sisi wanahabari wenyewe.
<--more!-->