Showing posts with label Muhammad Ali. Show all posts
Showing posts with label Muhammad Ali. Show all posts

Thursday, 16 June 2016

TUJIFUNZE NINI TOKA MAISHA NA HEKAYA ZA MUHAMMAD ALI ?



Bondia Muhammad Ali alipotembelea Tanzania mwaka 1980 akiwakilisha Marekani kuhusu michuano ya Olimpiki Moscow iliyokuwa na ukinzani. Kushoto kwake ni Thomas Mweuka wa Ofisi ya Habari Marekani Tanzania, USIS. Picha ya Mtandaoni.


Mwanadamu anapofariki huacha mali, watoto au maarifa. Mengi  yameandikwa ( na yataendelea kusemwa) kuhusu maisha ya bondia maarufu  Muhammad Ali aliyezikwa Alhamisi, Kentucky, Marekani.
  Wapo watu mashuhuri aina mbili.

Friday, 27 January 2012

MAJOR SPORTING EVENTS AND THE QUEST FOR POLITICAL MILEAGE...

Last week former heavyweight champion and one of the most famous personalities in the world, the African American, Muhammad Ali celebrated his 70th birthday. For a whole week London’s ITV beamed one hour documentaries of his fights called “Ali Still the Greatest.”
Ali floors Liston in their second match in 1964. Pic from here

Among Ali’s best tournament was 1974  “Rumble in The Jungle” where he faced George Forman and beat him in the eighth round in Kinshasa. The contest was so interesting that it has nurtured two finest films:  “Soul Power”, featuring musicians who performed at the event : James Brown, Miriam Makeba, Luambo Makiadi, Tabu Ley, BB King, Bill Weathers, etc. Dubbed the “the black Woodstock”, by Wikipedia, “Soul Power” was launched in 2008 and has amazing music from especially Miriam Makeba, Mama Africa, who died after performing in Italy, the same year.
Miriam Makeba's "best of" released in 2001
<--more--!>