Showing posts with label Bob Marley Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Bob Marley Tanzania. Show all posts

Friday, 18 March 2016

ZANZIBAR SITUATION CANNOT BE IGNORED...





 
Coconuts of Zanzibar-  by F Macha, 2009
Last week gunmen allegedly affiliated to the Al Qaeda wing of Sahel and North Africa thrashed the UNESCO tourist historical site in Grand Bassam, Ivory Coast. In one particular violent scene, a child pleading for mercy was brutally shot.

Sunday, 7 June 2015

URASTA SI BANGI, UKAIDI, UCHAFU, UHUNI WALA UJAMBAZI



Ethiopia imeelea ndani ya habari za kimataifa  wiki hizi mbili.
Jumapili iliyopita wanawake watatu  wa Kihabeshi  walishinda  mbio za Marathon hapa London. Zilishirikisha wakimbiaji 38,000, wengi  wananchi wa kawaida ( wasio  wanariadha wa kulipwa);  mataifa mbalimbali. Baada ya ushindi “ wanariadha hawa wenye fahari” walipeperusha bendera rangi kijani, manjano na nyekundu. Bendera hii ya Ethiopia iliyosanifiwa mwaka 1897  imekuwa  kielelezo maarufu cha Umoja wa Waafrika na watu weusi duniani zaidi ya miaka mia moja sasa.  Wekundu ni nguvu na imani, kijani ardhi na manjano, kanisa. Tufasili hili kifupi.


 Mwanamuziki maarufu wa Reggae kutoka Ivory Coast, Alpha Blondy. Picha ya Reggae Ville.