Jumapili iliyopita tuliona namna
mwanamuziki Fela Kuti alivyoonya kuhusu imani
za kigeni zilivyochangia kupotosha utamaduni wa Mwafrika.
Akasisitiza : “Ukristo na Uislamu si dini zetu...Wakristo wana fikra na tabia za Waingereza na Wamarekani, ilhali Waislamu wana tabia za Waarabu.”
Msikilize mwenyewe akijieleza kinaga naga
Jadi mbalimbali duniani zilijengwa kufuatana na mazingira na hali ya hewa. Dini zilitumia mvua, jua, radi, miti, wanyama nk, kuabudu na kutambika. Dini mbili kuu za Waafrika leo zimetokana na utamaduni wa Mashariki ya Kati na Wazungu.
<--more--!>
Akasisitiza : “Ukristo na Uislamu si dini zetu...Wakristo wana fikra na tabia za Waingereza na Wamarekani, ilhali Waislamu wana tabia za Waarabu.”
Msikilize mwenyewe akijieleza kinaga naga
Jadi mbalimbali duniani zilijengwa kufuatana na mazingira na hali ya hewa. Dini zilitumia mvua, jua, radi, miti, wanyama nk, kuabudu na kutambika. Dini mbili kuu za Waafrika leo zimetokana na utamaduni wa Mashariki ya Kati na Wazungu.
<--more--!>