Mara ya kwanza kuvaa mkanda katika gari ilikuwa nilipopewa lifti na Mzungu mmoja miaka ya Sabini. Kipindi hicho tuliwaita weupe, walami. Sijui neno lilitokea wapi. Ila yupo jamaa aliyefasiri kuwa “mlami” ilitokana na “lami” yaani barabara safi, isiyo ya matope, makorongo, udongo au mchanga. Barabara iliyowekwa lami ikawa ya Kizungu zungu. Na enzi hizo, walami waliangaliwa kama watu walioendelea. Si tu kitabia pia kiteknolojia. Ukiwa na mlami, unaulizwa maswali. Kakupa nini? Kakupeleka wapi, mlami? Atakupeleka mtoni? Yaani, utofauti.
Showing posts with label Usalama. Show all posts
Showing posts with label Usalama. Show all posts
Saturday, 19 November 2022
Wednesday, 30 March 2011
KITABU KINACHOELEZEA YALIYOWAFIKA WAPINZANI TANZANIA CHATOKA UINGEREZA...
Kina kurasa 272.
Toka nchi yetu iwe huru miaka hamsini sasa hajatokea Mtanzania akaandika kitabu cha aina hii. Watanzania tunaogopa. Hofu hiyo imeenea miaka mingi na imetushika hata sisi wanahabari wenyewe.
<--more!-->
Subscribe to:
Posts (Atom)

