Showing posts with label Seema Gill. Show all posts
Showing posts with label Seema Gill. Show all posts

Friday, 6 November 2015

KWANINI WASTANI WA MAUTI YA MTU MWEUSI ALIYESOMA NI MIAKA 55-65?




Mwandishi nikiwa na mtunzi mashuhuri hayati Gil Scott Heron (kushoto), baada ya onesho lake Jazz Cafe, London.  Scott- Heron alifariki akiwa na umri wa 63, mwaka 2011. Picha ya A. Macha , 1999.


Nilikuwa naongea na rafiki yangu mhadhiri; Dk Ikaweba Bunting, anafundisha  Marekani...
 Tulisononeka kifo cha mshairi maarufu wa mahadhi ya Jazz, marehemu Gil Scott Heron. Bw Scott Heron alikuwa na ujumbe mzito uliotetea maslahi ya wananchi weusi wa Marekani na kuzungumzia matatizo kadhaa ya jamii hiyo ukiwemo utumiaji dawa za kulevya. Alipiga piano na kuandika riwaya na mashairi matamu na makali sana. Ukitaka mfano mzuri hebu tafuta “Pieces of a Man” katika You Tube. Sikiliza sauti yake mshairi anayesemwa kuwa ni  baba wa watenzi wa Rapu na Ushairi wenye ujumbe. Fuatilia piano iliyotulia na mdundo  wa Blues na Jazz. Kama unahusudu lugha,  zingatia namna Kiingereza kinavyotumiwa kumchora na kumhakiki mhusika anayeimbwa.  Hayati Gil Scott Heron aliandika riwaya na kufundisha fasihi.  Anaomboleza maisha ya mtu huyu aliyeanza na bangi huishia  jehanam. Baadaye jamaa anateketea kabisa.
“I saw him go to pieces.
He was always such a good, good man.”
(Nilimtazama akivunjika vipande vipande
Alikuwa mtu mzuri sana...)

Sunday, 30 November 2014

RECALLING THE MADMAN WHO CHASED AND FLOGGED LADIES ON SAMORA AVENUE




Ugali kwa mtindi... 

Around 1978 to early 1980s Dar es Salaam, there used to be a man who terrified women.
Those days the word terrorist was not so instantly understood as in 2014. But this thin bloke, (I guess he was around 170 cm, or 5 foot 7, not tall or huge, as you can imagine), ruled one road in Dar. Independence Avenue, re-named Samora Machel Avenue,  homage to the late Mozambican leader. A  bustling street; filled with tourists, students (Forodhani Secondary School nearby), coffee shops, beauty salons, Asian shops, banks,  restaurants, offices, bookshops; a place to be. Hip.
 The chap was always dressed in a black kikoi, tied from waist down like the Sarongs made internationally famous by English footballer David Beckham (pictured below) in 1998.

 Kikoi, indeed, is standard outfit for East Africans, especially in poor areas. This nightmare from hell, wore one, carried a stick and he was as angry as he was menacing. Never to guys, though.
We are talking of pre- internet days. Us in the media wouldn’t even photograph the chap who I soon found out had a mental illness and highlighted his saga in my then weekly column of the Sunday News.
Women feared him. Seriously.