Showing posts with label Oliver Stone. Show all posts
Showing posts with label Oliver Stone. Show all posts

Saturday, 30 November 2013

MASHUJAA WAWILI WA MFANO WALIOFARIKI MWEZI NOVEMBA…


Tarehe 23 Novemba 1963 wakati namalizia malizia darasa la pili,  tuliambiwa tusiende shule. Jana yake, Rais John F Kennedy wa Marekani alipigwa risasi akiwa ziarani mjini Texas. Nakumbuka Watanganyika (tulivyoitwa miaka hiyo ) tulivyosikitika. Rais Kennedy alipendwa sana. Marekani iliisaidia Tanganyika kwa  misaada na wataalamu wa kujitolea – walioitwa “Peace Corps.” Urafiki huu ulidhihirishwa na mifuko ya sembe na vyakula yenye picha ya mkono wa Mzungu na Mwafrika vimeshikana kirafiki.
Mwalimu Nyerere alipokaribishwa  na Rais John Kennedy na kuhutubia Ikulu ya Marekani- mwaka 1963. Walikuwa marafiki wakubwa. Miezi michache baadaye Rais Kennedy aliuawa.

Baada ya miaka mitano mdogo wake marehem, Robert F Kennedy naye aliuliwa kwa risasi wakati akifanya kampeni za Urais. Wengi walitazamia angekuwa kiongozi bora kama kaka mtu.
Toka walipouawa ndugu hawa, sinema mbalimbali na mandishi yametolewa kuhusu kisa na sababu. Aliyezungumziwa na anayeendelea kuongelewa ni marehem John Kennedy- rais aliyependwa kuzidi wote katika historia ya Marekani.

Friday, 16 September 2011

GREED HAS EVOLVED INTO A DANGEROUS MONSTER POST 1967 ARUSHA DECLARATION ERA

Monument symbol of the historical declaration in Arusha 1967 that changed  Tanzanian course for many decades...

Prior to the 1967 Arusha Declaration it was common for the new African political elite to party and enjoy. An expression that evolved in Kenya via then President Jomo Kenyatta applauded greed.
Enjoy the fruits of Uhuru” the late Mzee Kenyatta is quoted to have said.
The late Jomo Kenyatta, first President of Kenya, he died in 1978.

 Political critics coined the word “Wabenzi” to describe the African ruling class because of their preference to the luxurious German Mercedes-Benz. Mwalimu Nyerere had written in his 1962 book on
Ujamaa that after winning Uhuru we cannot accept a society of “haves and have-nots.”
<--more--!>