Showing posts with label Jestina George. Show all posts
Showing posts with label Jestina George. Show all posts

Monday, 25 July 2011

BLOG LA “MWANAMKE NA NYUMBA” MFANO WA UANDISHI UNAOANGALIA MAHUSIANO NYETI YA MTANZANIA...

Uandishi wa mablogu wahitaji tarakilishi. Tarakilishi ni neno fasaha la Kiswahili linaloimanisha Kompyuta. Na hiki si chombo tu cha kuandikia. Huendesha simu za mkononi; taa zinazoongoza magari barabarani, mitambo ya ndege, mahospitali, runinga, nk. Dunia ya leo inaongozwa na tarakilishi. Hili ni bado somo jipya Tanzania. Kidunia mtandao kama tunavyoujua una miaka 15 ingawa sayansi hii ya kihabari imekuwepo kwa takribani miaka 30. Awali ilitumiwa na watu wachache hasa wanajeshi na majasusi kulinda matakwa ya serikali mbalimbali.
Rosemary Mizizi, blog lake Mwanamke na Nyumba linazungumzia mahusiano nyeti kati ya wanawake na wanaume  kwa undani sana katika jamii ya Tanzania leo.
<--more--!>

Sunday, 20 March 2011

WHAT CAN BE LEARNT FROM GONGO LA MBOTO VICTIMS DONATION APPEAL IN LONDON

Speaking on behalf of Tanzanians and Africans living in London early this week, blogger, presenter and Tanzanian fashion model, Jestina George touched on many aspects of the recent Gongo la Mboto incident.
Miss George who presents for Africans in London TV (www.ailtv.com) helped us focus on four major aspects of Gongo la Mboto funds appeal. Although the unfortunate incident will not be resolved by charity but by our politicians addressing other deeper issues, we can still ask questions and learn a few lessons.
First was the scepticism and cynicism.
We have always heard of humanitarian aid being held in red tape queue, delayed even re sold or completely taken away from its destination. 
<--!more-->