Showing posts with label Palestine. Show all posts
Showing posts with label Palestine. Show all posts

Tuesday, 4 October 2011

JE, KWANINI OMBI LA WAPALESTINA KUJIUNGA NA UMOJA WA MATAIFA NI MUHIMU KWETU SOTE?

Wiki iliyopita kiongozi wa Wapalestina, Mahmoud Abbas, alipigiwa makofi alipotoa hotuba ya dakika 35 kuutaka Umoja wa Mataifa uwatambue wananchi wake kama taifa huru.
“Wakati umefika, “ alieleza, “kwa wanaume, wanawake na watoto wetu kuwa na maisha ya kawaida. Kulala salama wakijua wataamka bila woga wa nini kitatokea kesho yake asubuhi.” 
Wapo waliompinga; mathalan Hamas, iliyodai kuna njia  bora zaidi kuwasukuma Wayahudi watambue haki za Wapalestina. Hamas ilisema Wapalestina lazima watumie nguvu kujikomboa badala “ya kuupigia magoti” Umoja wa Mataifa.

Mahmoud Abbas akiwa na bango la kiongozi maarufu wa Wapalestina Yasser Arafat....

Mrengo huo wa mawazo  unathibitishwa na Wamarekani walioshasema dhahiri kwamba watatumia kura ya “veto” ndani ya Baraza la Usalama kuzuia Wapalestina kuwa taifa huru. Kihistoria kura ya “veto” ilishatumika miaka ya nyuma kuyatia kabali masuala mbali mbali ya kimataifa. Iko mikononi mwa mataifa matano: Marekani, Uingereza, Urusi, Ufaransa na China.
<--more--!>

Friday, 6 May 2011

THE MOTHER AND A SON WITH A NAME THAT SOUNDED LIKE OSAMA BIN LADEN’S...

When I watched Sky News announcing death of “head of the snake of terror” (as one presenter put it) during the early hours of Monday I remembered two sensitive stories ten years ago. It was after September Eleven and the whole world was still in shock; nearly 3,000 dead in New York including the 19 hijackers. Few moments after one of this (most publicised) event in history a man wearing a turban targeted by an angry mob in the USA was badly beaten up. Mistaken for a Taliban activist he was in fact, a Sikh. 
File:Sikh pilgrim at the Golden Temple (Harmandir Sahib) in Amritsar, India.jpg


Since then various Sikhs have been assaulted randomly in various cities of the USA. While these attacks have more to do with ignorance and racism we all know it has a psychological connection to Al Qaeda and the man who was killed by US military forces early this week.
<--more--!>